112surah
แปลโดย
Ali Muhsin Al-Barwani (เปลี่ยน)

١

Sema: Yeye Mwenyezi Mungu ni wa pekee.
٢
Mwenyezi Mungu Mkusudiwa.
٣
Hakuzaa wala hakuzaliwa.
٤
Wala hana anaye fanana naye hata mmoja.
Notes placeholders