Changia kwa utume wetu
Changia sasa
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
007
surah
Tarjuma ya
Ali Muhsin Al-Barwani
(Badilisha)
Taarifa ya Sura
Cheza Sauti
7:1
الٓمٓصٓ
١
ALIF LAM MYM 'SAAD
7:2
كِتَٰبٌ
أُنزِلَ
إِلَيۡكَ
فَلَا
يَكُن
فِي
صَدۡرِكَ
حَرَجٞ
مِّنۡهُ
لِتُنذِرَ
بِهِۦ
وَذِكۡرَىٰ
لِلۡمُؤۡمِنِينَ
٢
Kitabu kilicho teremshwa kwako - basi isiwe dhiki kifuani kwako kwa ajili yake, upate kuonya kwacho, na kiwe ni ukumbusho kwa Waumini.
7:3
ٱتَّبِعُواْ
مَآ
أُنزِلَ
إِلَيۡكُم
مِّن
رَّبِّكُمۡ
وَلَا
تَتَّبِعُواْ
مِن
دُونِهِۦٓ
أَوۡلِيَآءَۗ
قَلِيلٗا
مَّا
تَذَكَّرُونَ
٣
Fuateni mliyo teremshiwa kutoka kwa Mola Mlezi wenu, wala msifuate rafiki au walinzi wengine badala yake. Ni machache mnayo yakumbuka.
Notes placeholders
close