105surah
Tarjuma ya
Ali Muhsin Al-Barwani (Badilisha)
Taarifa ya Sura

١

Kwani hukuona jinsi Mola wako Mlezi alivyo watenda wale wenye tembo?
٢
Kwani hakujaalia vitimbi vyao kuharibika?
٣
Na akawapelekea ndege makundi kwa makundi,
Notes placeholders