٤٣

Nao wako mbioni, vichwa juu, na macho hayapepesi, na nyoyo zao tupu.
٤٤
Na waonye watu siku itapo wajia adhabu, na walio dhulumu waseme: Ewe Mola wetu Mlezi! Tuakhirishe muda kidogo tuitikie wito wako na tuwafuate Mitume. Kwani nyinyi si mliapa zamani kwamba hamtaondokewa?
Notes placeholders