110surah
Tarjuma ya
Ali Muhsin Al-Barwani (Badilisha)
Taarifa ya Sura

١

Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
٢
Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
٣
Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.
Notes placeholders