Kukua Zaidi ya Ramadhani!
Jifunze zaidi
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
110
surah
Tarjuma ya
Ali Muhsin Al-Barwani
(Badilisha)
Taarifa ya Sura
Cheza Sauti
110:1
إِذَا
جَآءَ
نَصۡرُ
ٱللَّهِ
وَٱلۡفَتۡحُ
١
Itakapo kuja nusura ya Mwenyezi Mungu na ushindi,
110:2
وَرَأَيۡتَ
ٱلنَّاسَ
يَدۡخُلُونَ
فِي
دِينِ
ٱللَّهِ
أَفۡوَاجٗا
٢
Na ukaona watu wanaingia katika Dini ya Mwenyezi Mungu kwa makundi,
110:3
فَسَبِّحۡ
بِحَمۡدِ
رَبِّكَ
وَٱسۡتَغۡفِرۡهُۚ
إِنَّهُۥ
كَانَ
تَوَّابَۢا
٣
Zitakase sifa za Mola wako Mlezi, na umwombe msamaha; hakika Yeye ndiye anaye pokea toba.
Notes placeholders
close