Kukua Zaidi ya Ramadhani!
Jifunze zaidi
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
041
surah
Tarjuma ya
Ali Muhsin Al-Barwani
(Badilisha)
Taarifa ya Sura
Cheza Sauti
41:1
حمٓ
١
H'a Mim
41:2
تَنزِيلٞ
مِّنَ
ٱلرَّحۡمَٰنِ
ٱلرَّحِيمِ
٢
Uteremsho huu umetoka kwa Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu.
41:3
كِتَٰبٞ
فُصِّلَتۡ
ءَايَٰتُهُۥ
قُرۡءَانًا
عَرَبِيّٗا
لِّقَوۡمٖ
يَعۡلَمُونَ
٣
Hichi ni Kitabu kilicho pambanuliwa Aya zake, cha kusomwa kwa Kiarabu kwa watu wanao jua.
41:4
بَشِيرٗا
وَنَذِيرٗا
فَأَعۡرَضَ
أَكۡثَرُهُمۡ
فَهُمۡ
لَا
يَسۡمَعُونَ
٤
Kitoacho khabari njema, na chenye kuonya. Lakini wengi katika wao wamepuuza; kwa hivyo hawasikii.
Notes placeholders
close