070surah
Tarjuma ya
Ali Muhsin Al-Barwani (Badilisha)
Taarifa ya Sura

١

Muulizaji aliuliza juu ya adhabu itakayo tokea,
٢
Kwa makafiri - ambayo hapana awezaye kuizuia -
٣
Kutoka kwa Mwenyezi Mungu Mwenye mbingu za daraja.
٤
Malaika na Roho hupanda kwendea kwake katika siku ambayo kadiri yake ni miaka khamsini elfu!
Notes placeholders