Kukua Zaidi ya Ramadhani!
Jifunze zaidi
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
043
surah
Tarjuma ya
Ali Muhsin Al-Barwani
(Badilisha)
Taarifa ya Sura
Cheza Sauti
43:1
حمٓ
١
H'a Mim
43:2
وَٱلۡكِتَٰبِ
ٱلۡمُبِينِ
٢
Naapa kwa Kitabu kinacho bainisha.
43:3
إِنَّا
جَعَلۡنَٰهُ
قُرۡءَٰنًا
عَرَبِيّٗا
لَّعَلَّكُمۡ
تَعۡقِلُونَ
٣
Hakika Sisi tumeifanya Qur'ani kwa Kiarabu ili mfahamu.
43:4
وَإِنَّهُۥ
فِيٓ
أُمِّ
ٱلۡكِتَٰبِ
لَدَيۡنَا
لَعَلِيٌّ
حَكِيمٌ
٤
Na hakika hiyo imo katika Asili ya Maandiko yalioko kwetu, ni tukufu na yenye hikima.
Notes placeholders
close