108surah
Tarjuma ya
Ali Muhsin Al-Barwani (Badilisha)
Taarifa ya Sura

١

Hakika tumekupa kheri nyingi.
٢
Basi sali na uchinje kwa ajili ya Mola wako Mlezi.
٣
Hakika anaye kuchukia ndiye aliye mpungufu.
Notes placeholders