٨

Nasi tulizigusa mbingu, na tukaziona zimejaa walinzi wenye nguvu na vimondo.
٩
Na hakika tulikuwa tukikaa humo katika baadhi ya makao ili kusikiliza; lakini sasa anaye taka kusikiliza atakuta kimondo kinamvizia!
١٠
Nasi hatujui kama wanatakiwa shari wale wanao kaa kwenye ardhi au Mola wao Mlezi anawatakia uwongofu.
Notes placeholders