١٢

Hakika wanao mwogopa Mola wao Mlezi kwa ghaibu, watapata maghfira na ujira mkubwa.
١٣
Na ficheni kauli zenu, au zitangazeni; hakika Yeye ni Mjuzi wa yaliyomo vifuani.
١٤
Asijue aliye umba, naye ndiye Mjua siri, Mwenye khabari?
Notes placeholders