020surah
Tarjuma ya
Ali Muhsin Al-Barwani (Badilisha)
Taarifa ya Sura

١

T'AHA!
٢
Hatukukuteremshia Qur'ani ili upate mashaka.
٣
Bali ni mawaidha kwa wenye kunyenyekea.
٤
Materemsho yatokayo kwa aliye umba ardhi na mbingu zilizo juu.
Notes placeholders