٦٧

Na wakasema walio kufuru: Tutapo kuwa mchanga, sisi na baba zetu, hivyo kweli tutakuja tolewa?
٦٨
Haya haya tuliahidiwa sisi na baba zetu zamani. Hayakuwa haya ila ni hadithi za uwongo za watu wa kale.
٦٩
Sema: Nendeni katika ardhi, na tazameni ulikuwaje mwisho wa wakosefu.
Notes placeholders