٣١

Tutakuhisabuni enyi makundi mawili.
٣٢
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
٣٣
Enyi makundi ya majini na watu! Mkiweza kupenya kwenye mbingu na ardhi, basi penyeni! Hamtapenya ila kwa kupewa madaraka.
٣٤
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha?
Notes placeholders