050surah
Tarjuma ya
Ali Muhsin Al-Barwani (Badilisha)
Taarifa ya Sura

١

Qaaf. Naapa kwa Qur'ani tukufu!
٢
Bali wanastaajabu kwamba amewafikia mwonyaji kutoka miongoni mwao, na wakasema makafiri: Hili ni jambo la ajabu!
٣
Ati tukifa na tukawa udongo...? Kurejea huko kuko mbali!
Notes placeholders