Ingia
Ingia
Ingia
Chagua Lugha
English
العربية
বাংলা
فارسی
Français
Indonesia
Italiano
Dutch
Português
русский
Shqip
ภาษาไทย
Türkçe
اردو
简体中文
Melayu
Español
Kiswahili
Tiếng Việt
Tarjuma
90:19
والذين كفروا باياتنا هم اصحاب المشامة ١٩
وَٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ بِـَٔايَـٰتِنَا هُمْ أَصْحَـٰبُ ٱلْمَشْـَٔمَةِ ١٩
وَٱلَّذِينَ
كَفَرُواْ
بِـَٔايَٰتِنَا
هُمۡ
أَصۡحَٰبُ
ٱلۡمَشۡـَٔمَةِ
١٩
Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
90:20
عليهم نار موصدة ٢٠
عَلَيْهِمْ نَارٌۭ مُّؤْصَدَةٌۢ ٢٠
عَلَيۡهِمۡ
نَارٞ
مُّؤۡصَدَةُۢ
٢٠
Juu yao utakuwa Moto ulio fungiwa kila upande.
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
091
91. Ash-Shams
Sikiliza
taarifa
Tarjuma
Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye kurehemu
91:1
والشمس وضحاها ١
وَٱلشَّمْسِ وَضُحَىٰهَا ١
وَٱلشَّمۡسِ
وَضُحَىٰهَا
١
Naapa kwa jua na mwangaza wake!
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
91:2
والقمر اذا تلاها ٢
وَٱلْقَمَرِ إِذَا تَلَىٰهَا ٢
وَٱلۡقَمَرِ
إِذَا
تَلَىٰهَا
٢
Na kwa mwezi unapo lifuatia!
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
91:3
والنهار اذا جلاها ٣
وَٱلنَّهَارِ إِذَا جَلَّىٰهَا ٣
وَٱلنَّهَارِ
إِذَا
جَلَّىٰهَا
٣
Na kwa mchana unapo lidhihirisha!
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
91:4
والليل اذا يغشاها ٤
وَٱلَّيْلِ إِذَا يَغْشَىٰهَا ٤
وَٱلَّيۡلِ
إِذَا
يَغۡشَىٰهَا
٤
Na kwa usiku unapo lifunika!
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
91:5
والسماء وما بناها ٥
وَٱلسَّمَآءِ وَمَا بَنَىٰهَا ٥
وَٱلسَّمَآءِ
وَمَا
بَنَىٰهَا
٥
Na kwa mbingu na kwa aliye ijenga!
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
91:6
والارض وما طحاها ٦
وَٱلْأَرْضِ وَمَا طَحَىٰهَا ٦
وَٱلۡأَرۡضِ
وَمَا
طَحَىٰهَا
٦
Na kwa ardhi na kwa aliye itandaza!
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
91:7
ونفس وما سواها ٧
وَنَفْسٍۢ وَمَا سَوَّىٰهَا ٧
وَنَفۡسٖ
وَمَا
سَوَّىٰهَا
٧
Na kwa nafsi na kwa aliye itengeneza!
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
91:8
فالهمها فجورها وتقواها ٨
فَأَلْهَمَهَا فُجُورَهَا وَتَقْوَىٰهَا ٨
فَأَلۡهَمَهَا
فُجُورَهَا
وَتَقۡوَىٰهَا
٨
Kisha akaifahamisha uovu wake na wema wake!
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
91:9
قد افلح من زكاها ٩
قَدْ أَفْلَحَ مَن زَكَّىٰهَا ٩
قَدۡ
أَفۡلَحَ
مَن
زَكَّىٰهَا
٩
Hakika amefanikiwa aliye itakasa!
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
91:10
وقد خاب من دساها ١٠
وَقَدْ خَابَ مَن دَسَّىٰهَا ١٠
وَقَدۡ
خَابَ
مَن
دَسَّىٰهَا
١٠
Na hakika amekhasiri aliye iviza.
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
91:11
كذبت ثمود بطغواها ١١
كَذَّبَتْ ثَمُودُ بِطَغْوَىٰهَآ ١١
كَذَّبَتۡ
ثَمُودُ
بِطَغۡوَىٰهَآ
١١
Kina Thamudi walikadhibisha kwa sababu ya upotofu wao,
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
91:12
اذ انبعث اشقاها ١٢
إِذِ ٱنۢبَعَثَ أَشْقَىٰهَا ١٢
إِذِ
ٱنۢبَعَثَ
أَشۡقَىٰهَا
١٢
Alipo simama mwovu wao mkubwa,
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
91:13
فقال لهم رسول الله ناقة الله وسقياها ١٣
فَقَالَ لَهُمْ رَسُولُ ٱللَّهِ نَاقَةَ ٱللَّهِ وَسُقْيَـٰهَا ١٣
فَقَالَ
لَهُمۡ
رَسُولُ
ٱللَّهِ
نَاقَةَ
ٱللَّهِ
وَسُقۡيَٰهَا
١٣
Hapo Mtume wa Mwenyezi Mungu alipo waambia: Huyu ni ngamia wa Mwenyezi Mungu, mwacheni anywe maji fungu lake.
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
91:14
فكذبوه فعقروها فدمدم عليهم ربهم بذنبهم فسواها ١٤
فَكَذَّبُوهُ فَعَقَرُوهَا فَدَمْدَمَ عَلَيْهِمْ رَبُّهُم بِذَنۢبِهِمْ فَسَوَّىٰهَا ١٤
فَكَذَّبُوهُ
فَعَقَرُوهَا
فَدَمۡدَمَ
عَلَيۡهِمۡ
رَبُّهُم
بِذَنۢبِهِمۡ
فَسَوَّىٰهَا
١٤
Lakini walimkadhibisha na wakamchinja ngamia, kwa hivyo Mola wao Mlezi aliwaangamiza kwa sababu ya dhambi zao na akawafuta kabisa.
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
91:15
ولا يخاف عقباها ١٥
وَلَا يَخَافُ عُقْبَـٰهَا ١٥
وَلَا
يَخَافُ
عُقۡبَٰهَا
١٥
Wala Yeye haogopi matokeo yake.
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
092
92. Al-Layl
Sikiliza
taarifa
Tarjuma
Kwa Jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa Rehema, Mwenye kurehemu
92:1
والليل اذا يغشى ١
وَٱلَّيْلِ إِذَا يَغْشَىٰ ١
وَٱلَّيۡلِ
إِذَا
يَغۡشَىٰ
١
Naapa kwa usiku unapo funika!
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
92:2
والنهار اذا تجلى ٢
وَٱلنَّهَارِ إِذَا تَجَلَّىٰ ٢
وَٱلنَّهَارِ
إِذَا
تَجَلَّىٰ
٢
Na mchana unapo dhihiri!
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
92:3
وما خلق الذكر والانثى ٣
وَمَا خَلَقَ ٱلذَّكَرَ وَٱلْأُنثَىٰٓ ٣
وَمَا
خَلَقَ
ٱلذَّكَرَ
وَٱلۡأُنثَىٰٓ
٣
Na kwa Aliye umba dume na jike!
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
92:4
ان سعيكم لشتى ٤
إِنَّ سَعْيَكُمْ لَشَتَّىٰ ٤
إِنَّ
سَعۡيَكُمۡ
لَشَتَّىٰ
٤
Hakika juhudi zenu bila ya shaka ni mbali mbali.
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
92:5
فاما من اعطى واتقى ٥
فَأَمَّا مَنْ أَعْطَىٰ وَٱتَّقَىٰ ٥
فَأَمَّا
مَنۡ
أَعۡطَىٰ
وَٱتَّقَىٰ
٥
Ama mwenye kutoa na akamchamngu!
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
92:6
وصدق بالحسنى ٦
وَصَدَّقَ بِٱلْحُسْنَىٰ ٦
وَصَدَّقَ
بِٱلۡحُسۡنَىٰ
٦
Na akaliwafiki lilio jema!
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
92:7
فسنيسره لليسرى ٧
فَسَنُيَسِّرُهُۥ لِلْيُسْرَىٰ ٧
فَسَنُيَسِّرُهُۥ
لِلۡيُسۡرَىٰ
٧
Tutamsahilishia yawe mepesi.
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
92:8
واما من بخل واستغنى ٨
وَأَمَّا مَنۢ بَخِلَ وَٱسْتَغْنَىٰ ٨
وَأَمَّا
مَنۢ
بَخِلَ
وَٱسۡتَغۡنَىٰ
٨
Na ama mwenye kufanya ubakhili, na asiwe na haja ya wenzake!
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
92:9
وكذب بالحسنى ٩
وَكَذَّبَ بِٱلْحُسْنَىٰ ٩
وَكَذَّبَ
بِٱلۡحُسۡنَىٰ
٩
Na akakanusha lilio jema!
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari
90:19
والذين كفروا باياتنا هم اصحاب المشامة ١٩
وَٱلَّذِينَ كَفَرُوا۟ بِـَٔايَـٰتِنَا هُمْ أَصْحَـٰبُ ٱلْمَشْـَٔمَةِ ١٩
وَٱلَّذِينَ
كَفَرُواْ
بِـَٔايَٰتِنَا
هُمۡ
أَصۡحَٰبُ
ٱلۡمَشۡـَٔمَةِ
١٩
Lakini walio zikataa Ishara zetu, hao ndio watu wa shari wa kushotoni.
1
Tafsir
Mafunzo
Tafakari