Changia kwa utume wetu
Changia sasa
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
54:50
وَمَآ
أَمۡرُنَآ
إِلَّا
وَٰحِدَةٞ
كَلَمۡحِۭ
بِٱلۡبَصَرِ
٥٠
Na amri yetu haikuwa ila ni moja tu, kama kupepesa jicho.
54:51
وَلَقَدۡ
أَهۡلَكۡنَآ
أَشۡيَاعَكُمۡ
فَهَلۡ
مِن
مُّدَّكِرٖ
٥١
Na bila ya shaka tumekwisha waangamiza wenzenu. Lakini yupo anaye kumbuka?
54:52
وَكُلُّ
شَيۡءٖ
فَعَلُوهُ
فِي
ٱلزُّبُرِ
٥٢
Na kila jambo walilo lifanya limo vitabuni.
Notes placeholders
close