٣٦

Basi alipo wafikia Musa na Ishara zetu, walisema: Haya si chochote ila ni uchawi ulio zuliwa. Na hatukuyasikia haya kwa baba zetu wa zamani.
Notes placeholders

Ongeza matumizi yako ya Quran.com hadi upeo!
Anza ziara yako sasa:

0%