١٤٣

Amekuumbieni namna nane za wanyama: Wawili katika kondoo, na wawili katika mbuzi. Sema je, ameharimisha yote madume wawili au majike wawili, au waliomo matumboni mwa majike yote mawili? Niambieni kwa ilimu ikiwa nyinyi mnasema kweli.
Notes placeholders

Ongeza matumizi yako ya Quran.com hadi upeo!
Anza ziara yako sasa:

0%