Kukua Zaidi ya Ramadhani!
Jifunze zaidi
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
74:49
فَمَا
لَهُمۡ
عَنِ
ٱلتَّذۡكِرَةِ
مُعۡرِضِينَ
٤٩
Basi wana nini hata wanapuuza onyo hili?
74:50
كَأَنَّهُمۡ
حُمُرٞ
مُّسۡتَنفِرَةٞ
٥٠
Kama kwamba wao ni mapunda walio timuliwa,
74:51
فَرَّتۡ
مِن
قَسۡوَرَةِۭ
٥١
Wanao mkimbia simba!
74:52
بَلۡ
يُرِيدُ
كُلُّ
ٱمۡرِيٕٖ
مِّنۡهُمۡ
أَن
يُؤۡتَىٰ
صُحُفٗا
مُّنَشَّرَةٗ
٥٢
Ati kila mmoja katika wao anataka apewe nyaraka zilizo funuliwa.
Notes placeholders
close