٢٨

Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
٢٩
Nendeni kwenye adhabu mliyo kuwa mkiikanusha!
٣٠
Nendeni kwenye kivuli chenye mapande matatu!
٣١
Hakikingi moto, wala hakiwaepushi na mwako.
Notes placeholders

Ongeza matumizi yako ya Quran.com hadi upeo!
Anza ziara yako sasa:

0%