Kukua Zaidi ya Ramadhani!
Jifunze zaidi
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
56:7
وَكُنتُمۡ
أَزۡوَٰجٗا
ثَلَٰثَةٗ
٧
Na nyinyi mtakuwa namna tatu:-
56:8
فَأَصۡحَٰبُ
ٱلۡمَيۡمَنَةِ
مَآ
أَصۡحَٰبُ
ٱلۡمَيۡمَنَةِ
٨
Basi watakuwepo wa kuliani; je, ni wepi wa kuliani?
56:9
وَأَصۡحَٰبُ
ٱلۡمَشۡـَٔمَةِ
مَآ
أَصۡحَٰبُ
ٱلۡمَشۡـَٔمَةِ
٩
Na wa kushotoni; je, ni wepi wa kushotoni?
56:10
وَٱلسَّٰبِقُونَ
ٱلسَّٰبِقُونَ
١٠
Na wa mbele watakuwa mbele.
Notes placeholders
close