Kukua Zaidi ya Ramadhani!
Jifunze zaidi
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
106
surah
Tarjuma ya
Ali Muhsin Al-Barwani
(Badilisha)
Taarifa ya Sura
Cheza Sauti
106:1
لِإِيلَٰفِ
قُرَيۡشٍ
١
Kwa walivyo zoea Maqureshi,
106:2
إِۦلَٰفِهِمۡ
رِحۡلَةَ
ٱلشِّتَآءِ
وَٱلصَّيۡفِ
٢
Kuzoea kwao safari za siku za baridi na siku za joto.
106:3
فَلۡيَعۡبُدُواْ
رَبَّ
هَٰذَا
ٱلۡبَيۡتِ
٣
Basi nawamuabudu Mola Mlezi wa Nyumba hii,
106:4
ٱلَّذِيٓ
أَطۡعَمَهُم
مِّن
جُوعٖ
وَءَامَنَهُم
مِّنۡ
خَوۡفِۭ
٤
Ambaye anawalisha wasipate njaa, na anawalinda na khofu.
Notes placeholders
close