111surah
Tarjuma ya
Ali Muhsin Al-Barwani (Badilisha)
Taarifa ya Sura

١

Imeangamia mikono ya Abu Lahab, na yeye pia ameangamia.
٢
Hayatamfaa mali yake, wala alivyo vichuma.
٣
Atauingia Moto wenye mwako.
Notes placeholders