١٠١

Enyi mlio amini! Msiulize mambo ambayo mkidhihirishiwa yatakuchukizeni. Na mkiyauliza inapo teremshwa Qur'ani mtabainishiwa. Mwenyezi Mungu amesamehe hayo. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye maghfira Mpole.
١٠٢
Waliyauliza hayo watu wa kabla yenu, kisha wakawa wenye kuyakataa.
Notes placeholders