٩٢

Kwa hakika huu umma wenu ni umma mmoja, na Mimi ni Mola wenu Mlezi. Kwa hivyo niabuduni Mimi.
٩٣
Nao wakalikata jambo lao hili mapande mapande baina yao. Wote watarudi kwetu.
٩٤
Na atendaye mema naye ni Muumini basi haitakataliwa juhudi yake. Na hakika Sisi tunamwandikia.
Notes placeholders