١٠

Na ardhi ameiweka kwa ajili ya viumbe.
١١
Humo yamo matunda na mitende yenye mafumba.
١٢
Na nafaka zenye makapi, na rehani.
١٣
Basi ni ipi katika neema za Mola wenu Mlezi mnayo ikanusha
Notes placeholders

Ongeza matumizi yako ya Quran.com hadi upeo!
Anza ziara yako sasa:

0%