٢٩

Basi kumbusha! Kwani wewe, kwa neema ya Mola wako Mlezi, si kuhani wala mwendawazimu.
٣٠
Au wanasema: Huyu ni mtunga mashairi, tunamtarajia kupatilizwa na dahari.
٣١
Sema: Tarajieni, na mimi pia ni pamoja nanyi katika kutarajia.
Notes placeholders

Ongeza matumizi yako ya Quran.com hadi upeo!
Anza ziara yako sasa:

0%