١٩

Na hakika Mja wa Mwenyezi Mungu alipo simama kumwomba, wao walikuwa karibu kumzonga!
٢٠
Sema: Hakika mimi namwomba Mola wangu Mlezi, wala simshirikishi Yeye na yeyote.
٢١
Sema: Mimi sina mamlaka ya kukudhuruni wala kukuongozeni.
Notes placeholders