٤١

Na hata tukikuondoa, Sisi tutalipiza kisasi chetu kwao.
٤٢
Au tutakuonyesha tulio waahidi. Nasi bila ya shaka tuna uweza juu yao.
٤٣
Basi wewe yashike yaliyo funuliwa kwako. Hakika wewe uko kwenye Njia Iliyo Nyooka.
Notes placeholders

Ongeza matumizi yako ya Quran.com hadi upeo!
Anza ziara yako sasa:

0%