Ash-Shuura 42:41 ولمن انتصر بعد ظلمه فاولايك ما عليهم من سبيل ٤١
Ukurasa 487 · Juzuu 25
وَلَمَنِ
ٱنتَصَرَ
بَعۡدَ
ظُلۡمِهِۦ
فَأُوْلَٰٓئِكَ
مَا
عَلَيۡهِم
مِّن
سَبِيلٍ
٤١
Na wanao jitetea baada ya kudhulumiwa, hao hapana njia ya kuwalaumu. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na yoyote aliyemlipiza yule aliyemdhulumu baada ya kudhulumiwa naye, basi hao hawana makosa ya kuadhibiwa kwayo.