Ash-Shuaraa 26:203 فيقولوا هل نحن منظرون ٢٠٣
Ukurasa 375 · Juzuu 19
فَيَقُولُواْ
هَلۡ
نَحۡنُ
مُنظَرُونَ
٢٠٣
Na watasema: Je, tutapewa muhula?. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
na hapo waseme, watakaposhtushwa nayo, kwa majuto ya Imani iliyotupita tukaikosa, «Je, sisi ni wenye kupatiwa nafasi na kucheleweshwa tupate kutubia kwa Mwenyezi Mungu ushirikina wetu na tuyapatilize yaliyotupita?»
na hapo waseme, watakaposhtushwa nayo, kwa majuto ya Imani iliyotupita tukaikosa, «Je, sisi ni wenye kupatiwa nafasi na kucheleweshwa tupate kutubia k…