Kukua Zaidi ya Ramadhani!
Jifunze zaidi
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
030
surah
Tarjuma ya
Ali Muhsin Al-Barwani
(Badilisha)
Taarifa ya Sura
Cheza Sauti
30:1
الٓمٓ
١
Alif Lam Mim (A. L. M.)
30:2
غُلِبَتِ
ٱلرُّومُ
٢
Warumi wameshindwa,
30:3
فِيٓ
أَدۡنَى
ٱلۡأَرۡضِ
وَهُم
مِّنۢ
بَعۡدِ
غَلَبِهِمۡ
سَيَغۡلِبُونَ
٣
Katika nchi iliyo karibu. Nao baada ya kushindwa kwao watashinda
30:4
فِي
بِضۡعِ
سِنِينَۗ
لِلَّهِ
ٱلۡأَمۡرُ
مِن
قَبۡلُ
وَمِنۢ
بَعۡدُۚ
وَيَوۡمَئِذٖ
يَفۡرَحُ
ٱلۡمُؤۡمِنُونَ
٤
Katika miaka michache. Amri ni ya Mwenyezi Mungu kabla yake na baada yake. Na siku hiyo Waumini watafurahi.
Notes placeholders
close