٨

Na lidhukuru jina la Mola wako Mlezi, na ujitolee kwake kwa ukamilifu.
٩
Mola Mlezi wa mashariki na magharibi, hapana mungu isipo kuwa Yeye, basi mfanye kuwa Mtegemewa wako.
١٠
Na vumilia hayo wayasemayo, na jitenge nao kwa vizuri.
Notes placeholders