Al-Muuminun 23:2 الذين هم في صلاتهم خاشعون ٢
Ukurasa 342 · Juzuu 18
ٱلَّذِينَ
هُمۡ
فِي
صَلَاتِهِمۡ
خَٰشِعُونَ
٢
Ambao ni wanyenyekevu katika Swala zao! 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Wale ambao miongoni mwa sifa zao ni kwamba wao ni wanyenyekevu kwenye Swala zao, nyoyo zinajishughulisha na hiyo Swala tu na viungo vyao vimetulia kwayo.
Wale ambao miongoni mwa sifa zao ni kwamba wao ni wanyenyekevu kwenye Swala zao, nyoyo zinajishughulisha na hiyo Swala tu na viungo vyao vimetulia kwa…