Kukua Zaidi ya Ramadhani!
Jifunze zaidi
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
77:16
أَلَمۡ
نُهۡلِكِ
ٱلۡأَوَّلِينَ
١٦
Kwani hatukuwaangamiza walio tangulia?
77:17
ثُمَّ
نُتۡبِعُهُمُ
ٱلۡأٓخِرِينَ
١٧
Kisha tukawafuatilizia walio fuatia?
77:18
كَذَٰلِكَ
نَفۡعَلُ
بِٱلۡمُجۡرِمِينَ
١٨
Ndio kama hivi tuwatendavyo wakosefu!
77:19
وَيۡلٞ
يَوۡمَئِذٖ
لِّلۡمُكَذِّبِينَ
١٩
Ole wao siku hiyo hao wanao kanusha!
Notes placeholders
close