Al-Muddaththir 74:19 فقتل كيف قدر ١٩
Ukurasa 576 · Juzuu 29
فَقُتِلَ
كَيۡفَ
قَدَّرَ
١٩
Basi ameangamia! Vipi alivyo pima!
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Hivyo basi akalaaniwa na akastahili, kwa hilo, maangamivu: alijiandaa vipi ndani ya nafsi yake kwa hayo matukano?