Al-Hijr 15:66 وقضينا اليه ذالك الامر ان دابر هاولاء مقطوع مصبحين ٦٦
Ukurasa 265 · Juzuu 14
وَقَضَيۡنَآ
إِلَيۡهِ
ذَٰلِكَ
ٱلۡأَمۡرَ
أَنَّ
دَابِرَ
هَٰٓؤُلَآءِ
مَقۡطُوعٞ
مُّصۡبِحِينَ
٦٦
Na tukamfunulia hukumu hiyo, ya kwamba hata wa mwisho wao hao ikifika asubuhi atakuwa kesha katiliwa mbali. 1
Soma Tafsir
Dr. Abdullah Muhammad Abu Bakr and Sheikh Nasir Khamis
Na tukampelekea wahyi Lūṭ kwamba watu wako(waliokukanusha) wataangamizwa wote, hakuna atakayesalia, pindi kutakapoanza kupambazuka.