В тот день врагами станут все любящие друзья, кроме богобоязненных.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Marafiki katika kumuasi Mwenyezi Mungu duniani watatengana wao kwa wao Siku ya Kiyama. Lakini wale waliofanya urafiki juu ya uchaji Mwenyezi Mungu, urafiki wao utadumu duniani na Akhera.