Entrar
Entrar
Entrar
Selecione o idioma

Tafsir: Al-Qamar 54:28

54:28
ونبيهم ان الماء قسمة بينهم كل شرب محتضر ٢٨
وَنَبِّئْهُمْ أَنَّ ٱلْمَآءَ قِسْمَةٌۢ بَيْنَهُمْ ۖ كُلُّ شِرْبٍۢ مُّحْتَضَرٌۭ ٢٨
وَنَبِّئۡهُمۡﱁ
أَنَّﱂ
ٱلۡمَآءَﱃ
قِسۡمَةُۢﱄ
بَيۡنَهُمۡۖﱅﱆ
كُلُّﱇ
شِرۡبٖﱈ
مُّحۡتَضَرٞﱉ
٢٨ﱊ
E anuncia-lhes que a água deverá ser compartilhada entre eles, e casa qual terá o seu turno registrado.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na uwape habari kwamba maji yamegawanywa baina ya watu wako na ngamia: ngamia ana siku yake na nyinyi mna siku yenu, kila siku ya kunywa atakuja yule ambaye ni siku yake aliyogawanyiwa, na atakatazwa yule ambaye si siku yake aliyogawanyiwa.