Entrar
Entrar
Entrar
Selecione o idioma

Tafsir: Al-Anfal 8:25

8:25
واتقوا فتنة لا تصيبن الذين ظلموا منكم خاصة واعلموا ان الله شديد العقاب ٢٥
وَٱتَّقُوا۟ فِتْنَةًۭ لَّا تُصِيبَنَّ ٱلَّذِينَ ظَلَمُوا۟ مِنكُمْ خَآصَّةًۭ ۖ وَٱعْلَمُوٓا۟ أَنَّ ٱللَّهَ شَدِيدُ ٱلْعِقَابِ ٢٥
وَٱتَّقُواْﲿ
فِتۡنَةٗﳀ
لَّاﳁ
تُصِيبَنَّﳂ
ٱلَّذِينَﳃ
ظَلَمُواْﳄ
مِنكُمۡﳅ
خَآصَّةٗۖﳆﳇ
وَٱعۡلَمُوٓاْﳈ
أَنَّﳉ
ٱللَّهَﳊ
شَدِيدُﳋ
ٱلۡعِقَابِﳌ
٢٥ﳍ
E preveni-vos contra a intriga, a qual não atingirá apenas os iníquos dentre vós; sabei que Deus é Severíssimo nocastigo.
Tafsirs
Camadas
Lições
Reflexões
Respostas
Qiraat
Hadith
Na jihadharini, enyi Waumini, na mtihani na mkasa yenye kuwaenea waliofanya makosa na wasiofanya, hawahusishwi nayo wenye maasia wala aliyefanya dhambi; bali yanawapata watu wema pamoja nao iwapo wanaweza kukataza udhalimu wasiukataze. Na jueni kwamba Mwenyezi Mungu ni Mkali wa mateso kwa mwenye kwenda kinyume na maamrisho Yake na makatazo Yake.