012surah
Di terjemahkan oleh
Ali Muhsin Al-Barwani (Ubah)
Info Surah

١

Alif Lam Raa. Hizi ni Aya za Kitabu kinacho bainisha.
٢
Hakika Sisi tumeiteremsha Qur'ani kwa Kiarabu ili mpate kuzingatia.
٣
Sisi tunasimulia simulizi nzuri kwa kukufunulia Qur'ani hii. Na ijapo kuwa kabla ya haya ulikuwa miongoni mwa wasio jua.
Notes placeholders